SIKU chache baada ya makala inayoelezea maisha ya Maria patrick na kuchapishwa kwenye gazeti la Tanzania Daima. Wasamaria wema wamejitokeza kumsaidia mtaji endapo atafungua account,
Tunaendelea kupokea ushauri na misaada kwaajili ya kumwezesha maria namba yake ni simu ni . 0654739656
No comments:
Post a Comment